Yohana 17:24-26 - 06-06-2026
Ndugu wakae pamoja kwa umoja. { Somo na Heri Buberwa}
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 31 MEI, 2026
SIKU YA UTATU MTAKATIFU MUNGU MMOJA: BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI:
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia na cheti:
3. Matoleo ya Tarehe 24/05/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO: