1 Wakorintho 14:26-33 - 29-05-2026
Isaya 44:1-5 - 28-05-2026
Yoeli 2:28-32 - 27-05-2026
Matangazo ya usharika tarehe 24 Mei 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA YA TAREHE 24 MEI, 2026
SIKU YA BWANA YA PENTEKOSTE
NENO LINALOTUONGOZA NI:
“NJOO KWETU ROHO MTAKATIFU”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Doris Assey.
3. Matoleo ya Tarehe 17/05/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Zekaria 12:10-14 - 26-05-2026
Yakobo 1:5-11 - 23-05-2026
Maombolezo 3:52-57 - 22-05-2026
Marko 10:46-52 - 21-05-2026
Warumi 8:26-30 - 20-05-2026
Mwanzo 25:21-22 - 19-05-2026
Matangazo ya usharika tarehe 17 Mei 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA LEO TAREHE 17 MEI, 2026
SIKU YA BWANA KABLA YA PENTEKOSTE
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI:
“MUNGU UTUSIKIE KATIKA KUOMBA KWETU”
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 10/05/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Zaburi 50:15 - 18-05-2026
Luka 24:50-53 - 16-05-2026
Matendo ya Mitume 1:9-11 - 15-05-2026
- 1 of 2
- next ›
